Psalms 12:1-2
Kuomba Msaada
(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Sheminithi: Zaburi Ya Daudi)
1 a Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;
waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
2 bKila mmoja humwambia jirani yake uongo;
midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
Copyright information for
SwhKC