Psalms 12:1-2

Kuomba Msaada

(Kwa Mwimbishaji: Mtindo Wa Sheminithi: Zaburi Ya Daudi)


1 a Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;
waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.

2 bKila mmoja humwambia jirani yake uongo;
midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.

Copyright information for SwhKC